Description
Eka moja na nusu,inauzwa ipo kijiji cha idetelo main corridor road ya Tanzania-Zambia road barabara ya rami kabisa ndo linapakana,linafaa kwa yard,kituo cha mafuta,taasisi nk, hati ya s/kijiji Idetero, pia limepimwa ktk urasimishaji,ukinunua unaenda kuchukua hati kwa jina lako, ni tambarale safi kabisa, KUMBUKA maeneo hayo ndo kinajengwa kiwanda kikubwa EA cha parachichi, wekeza ndugu yangu ni M 15 tu tshs au 6125USD SIMU MTEJA SERIOUSLY 0764100950 WHATSAP only 255753808765